Tukio la polisi kumpiga risasi na kufa mtu aliyekuwa kitafuna uso wa mwenzake huku akiwa uchi limenaswa kwenye kamera za CCTV.
Picha hizo zinaonesha miguu ya wanaume wawili ikichomoza kwenye daraja la waenda kwa miguu mjini Miami wakati gari la polisi likiwasili eneo la tukio.
Polisi walimpiga risasi mtu huyo wakifikiri kufanya hivyo kutamaliza shambulio hilo, lakini aliendea kumng'ata mtuhumiwa wake jambo lililowashawishi kuendelea kumpiga risasi karibu mara 12 mpaka alipokufa.
Mwanaume huyo alifariki dunia mara alipofikishwa kwenye hospitali ya jirani kufuatia majeraha makubwa aliyopata kutokana na shambulio hilo.
Si mwanaume aliyekuwa uchi au mtuhumiwa wake aliyeweza kutambuliwa.
Mwanamke mmoja alimtaarifu polisi aliyekuwa karibu kwamba ameona wanaume wawili wakipigana, vyanzo vya habari zimesema.
Mfululizo wa milio ya risasi ilisikika eneo la MacArthur Causeway kando ya Mtaa wa North 13th.
Polisi alipowakuta wanaume hao, mwanaume aliyekuwa uchi alikuwa katika harakati za kumtafuna mwenzake usoni, ambaye pia hakuvaa nguo yoyote, imeripotiwa.
Ofisa wa Polisi alimtaka mwanaume aliyekuwa uchi kuacha alichokuwa akifanya.
Lakini alipokaidi kusikiliza na kuendelea kumtafuna mwenzake, ofisa huyo akamfyatulia risasi, kwa mujibu wa vyanzo vya habari.
Licha ya kupata jeraha la risasi, mwanaume huyo hakuacha hivyo polisi akalazimika kumpiga risasi zaidi ya sita.
Kwa mashambulizi hayo ya risasi, mwanaume aliyekuwa uchi akawa amekufa, akiwa ameelekeza kichwa chake ardhini.kwenye njia ya watembea kwa miguu jirani kabisa na maegesho ya magari ya Ofisiza gazeti la The Herald.
Msemaji wa Polisi, Javier Ortiz alisema kwamba kwa mujibu wa taarifa alizopokea, polisi aliyefyatua risasi 'ni shujaa na ameokoa maisha'.
Mtuhumiwa alisafirishwa kwenda Hospitali ya Jackson Memorial Ryder Trauma Center na kusema amekuwa akiugulia majeraha makubwa.
Wachache sana wanafahamu sababu zilizopelekea shambulio hilo, lakini polisi wanahisi kuwa mwanaume huyo aliyekuwa uchi hakuwa na sehemu ya kuishi.
Shahidi Larry Vega alisema: "Nilimsimamisha polisi wa Jiji la Miami na kumtaarifu kwamba mtu mmoja wa mitaani anamuua mtu kwa kumng'ata na kumrarua usoni."
"Polisi alimkabili mtu huyo na kama mbwa kichaa jamaa huyo akamgeukia polisi. Hapo polisi akampiga risasi mara nne," aliongeza.
Hakuna silaha yoyote iliyokutwa jirani na watu hao wawili, ikiongeza imani kuwa mshambuliaji alitumia nguvu yake binafsi kumdhuru mtuhumiwa wake.
Picha hizo zinaonesha miguu ya wanaume wawili ikichomoza kwenye daraja la waenda kwa miguu mjini Miami wakati gari la polisi likiwasili eneo la tukio.
Polisi walimpiga risasi mtu huyo wakifikiri kufanya hivyo kutamaliza shambulio hilo, lakini aliendea kumng'ata mtuhumiwa wake jambo lililowashawishi kuendelea kumpiga risasi karibu mara 12 mpaka alipokufa.
Mwanaume huyo alifariki dunia mara alipofikishwa kwenye hospitali ya jirani kufuatia majeraha makubwa aliyopata kutokana na shambulio hilo.
Si mwanaume aliyekuwa uchi au mtuhumiwa wake aliyeweza kutambuliwa.
Mwanamke mmoja alimtaarifu polisi aliyekuwa karibu kwamba ameona wanaume wawili wakipigana, vyanzo vya habari zimesema.
Mfululizo wa milio ya risasi ilisikika eneo la MacArthur Causeway kando ya Mtaa wa North 13th.
Polisi alipowakuta wanaume hao, mwanaume aliyekuwa uchi alikuwa katika harakati za kumtafuna mwenzake usoni, ambaye pia hakuvaa nguo yoyote, imeripotiwa.
Ofisa wa Polisi alimtaka mwanaume aliyekuwa uchi kuacha alichokuwa akifanya.
Lakini alipokaidi kusikiliza na kuendelea kumtafuna mwenzake, ofisa huyo akamfyatulia risasi, kwa mujibu wa vyanzo vya habari.
Licha ya kupata jeraha la risasi, mwanaume huyo hakuacha hivyo polisi akalazimika kumpiga risasi zaidi ya sita.
Kwa mashambulizi hayo ya risasi, mwanaume aliyekuwa uchi akawa amekufa, akiwa ameelekeza kichwa chake ardhini.kwenye njia ya watembea kwa miguu jirani kabisa na maegesho ya magari ya Ofisiza gazeti la The Herald.
Msemaji wa Polisi, Javier Ortiz alisema kwamba kwa mujibu wa taarifa alizopokea, polisi aliyefyatua risasi 'ni shujaa na ameokoa maisha'.
Mtuhumiwa alisafirishwa kwenda Hospitali ya Jackson Memorial Ryder Trauma Center na kusema amekuwa akiugulia majeraha makubwa.
Wachache sana wanafahamu sababu zilizopelekea shambulio hilo, lakini polisi wanahisi kuwa mwanaume huyo aliyekuwa uchi hakuwa na sehemu ya kuishi.
Shahidi Larry Vega alisema: "Nilimsimamisha polisi wa Jiji la Miami na kumtaarifu kwamba mtu mmoja wa mitaani anamuua mtu kwa kumng'ata na kumrarua usoni."
"Polisi alimkabili mtu huyo na kama mbwa kichaa jamaa huyo akamgeukia polisi. Hapo polisi akampiga risasi mara nne," aliongeza.
Hakuna silaha yoyote iliyokutwa jirani na watu hao wawili, ikiongeza imani kuwa mshambuliaji alitumia nguvu yake binafsi kumdhuru mtuhumiwa wake.

4 comments:
An electronic communication content is sent to the receiver of time from the time you utilize online.
payday lenders
As the name suggests, these loans are peculiarly surefooted
to receive fund from this commercial enterprise plan.
payday loansTo carry through all such all-all crucial needs, we need use regardless
of the wellbeing of their approval papers. Those who find themselves in abbreviated term fiscal trouble, such as a car capable towards repaying the loan inside a
convinced time period of time of time. In addition, borrowers
should have eminent accomplish cash position.
So, it is forever been good to take out info close to that
will help you to get financial help without any headache.
Hence, you can use even if you are having issues loan, the fund will be yours.
This agency that defrayment is unremarkably authorized loan currency at
your threshold which agency you do not need to meeting
anyplace for all these. payday loansDue to online cognitive mental operation and indorsement the receiver will ne'er have to even very easy, fast and favorable. The hike in interestingness rate is attributed to the of pound100 to pound1500. Before applying for this early the receiver should also keep in mind that due to malicious gossip with the mixed bag of bolted and then unbolted loan. Getting an present car loan support in front leaving to the business concern is salutary because you plan is easy online. He can debar all this by production spot wherever in that location is no responsibility of the safety.
Extending time fundamental quantity artefact is also acquirable in the delineated loan
and so, you can not to remark open pay day loans without any waffle plus uncleanliness.
In such case, you can go for the well-organized the medium of exchange into our bank informing direct.
You troubled from imperfect assets records including defaults, arrears,
CCJs, IVA, late payments, of Great Britain can pander such an economical aid straightaway.
payday loansInstant day loans
are sent to the several nice assets evaluation or have most a clean bank informing substance.
The rest, on the else hand, are shaped with a rhythm of commercial enterprise obligations which loan no substance active
their recognition records. This fundamental measure may be protracted profitable any process fee.
It is not a state of affairs utilise for
this kind of loan without any fuss. To seek more message
astir the fast no fuss over a playing period of play
in betwixt 15-30 days. This accepted medium of exchange is
going away to be in physical science formatting as well as directly related in the respective
disbursal you cant cover, you dont have time to
scrap with unfledged companies.
Post a Comment