Vijana hawa pichani wakijimiminia mabaki ya mafuta kutoka kwenye moja ya malori yaliyokuwa kwenye foleni katika Barabara ya Mandela maeneo ya Buguruni leo asubuhi. Vitendo hivi licha ya kupigwa marufuku kwa sababu za kiusalama, vimeibuka tena kwa kasi baada ya vijana hawa kuona hakuna hatua zozote za kuwazuia zikichukuliwa. (Picha zote na ziro99blog).
No comments:
Post a Comment