Panya watatu wameketi chini ya uvungu wa kabati wakitambiana kuhusu jinsi walivyo jasiri kushinda wengine.
Panya wa kwanza akaanza, "Mimi ni jasiri sana, siku moja nimekula keki yote iliyokuwa na sumu ya panya!"
Panya wa pili akasema, "Mimi ni jasiri zaidi, siku moja nilinaswa na mtego wa panya lakini nikafanikiwa kuuvunja vipande vipande!"
Panya wa tatu akamalizia, "Baadaye washikaji wangu, ngoja nikamshikishe adabu paka sebuleni!" Duh...
Panya wa kwanza akaanza, "Mimi ni jasiri sana, siku moja nimekula keki yote iliyokuwa na sumu ya panya!"
Panya wa pili akasema, "Mimi ni jasiri zaidi, siku moja nilinaswa na mtego wa panya lakini nikafanikiwa kuuvunja vipande vipande!"
Panya wa tatu akamalizia, "Baadaye washikaji wangu, ngoja nikamshikishe adabu paka sebuleni!" Duh...

No comments:
Post a Comment