Wednesday, February 29, 2012
MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA...
Usemi wa "Mbuyu ulianza kama Mchicha" unaweza kuleta maana kama inavyoonekana pichani. Taka hizi zikiwa vimetelekezwa kwenye kituo cha daladala Mwananyamala Komakoma jambo ambalo linaashiria kama hatua za haraka hazitachukuliwa basi katika siku chache zijazo tunaweza kushuhudia dampo kubwa kituoni hapo. Zilianza chache na sasa ndio kama hivyo. (Picha na ziro99blog).
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment