Mifuko ambayo imesheheni mabaki ya kile kilichoelezwa kuwa ni mabaki ya miili ya binadamu ambayo ilitupwa na kugundulika mapema leo kwenye eneo la machimbo ya kokoto sehemu ya Mbweni Mpiji Magohe, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Wilaya ya Kinondoni limesema linaanza uchunguzi wa kina kuhusiana na suala hilo.

No comments: