Tuesday, April 28, 2015

YASEMAVYO MAGAZETI YA JUMATANO APRILI 29, 2015

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya Jumatano Aprili 29, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo kushoto. Kupata yaliyoandikwa kwenye magazeti usikose kuperuzi blogu hii kila siku.

Thursday, April 23, 2015

CHEKA TARATIBU: LAZIMA NIMEFAULU MTIHANI

Asubuhi moja wanafunzi wapo darasani wakimsikiliza mwalimu wa somo ya Hisabati aliyekuwa akijiandaa kugawa mitihani ya somo lake. Kati yao alikuwapo Nonda, mwanafunzi ambaye mara zote amekuwa akishika mkia katika darasa hilo.

YASEMAVYO MAGAZETI YA IJUMAA APRILI 24

Tuesday, April 21, 2015

YASEMAVYO MAGAZETI YA JUMATANO APRILI 22

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya Jumatano Aprili 22, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo kushoto. Kupata yaliyoandikwa kwenye magazeti usikose kuperuzi blogu hii kila siku.

Friday, April 17, 2015

YASEMAVYO MAGAZETI YA JUMAMOSI APRILI 18

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya Jumamosi Aprili 18, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo kushoto. Kupata yaliyoandikwa kwenye magazeti usikose kuperuzi blogu hii kila siku.

HIVI NDIVYO ‘KIPANYA’ KILIVYOFYEKA WATU 20 MBEYA


Mshituko wa matukio ya mfululizo ya ajali, umeendelea kugubika nchi, baada ya watu 20 kupoteza maisha katika ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace, iliyotokea jana wilayani Rungwe mkoani Mbeya.

ASKOFU GWAJIMA APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU


Hatimaye Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima (45), amepanda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka mawili, ikiwemo la kutumia lugha ya matusi dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.

WACHIMBAJI WADOGO 19 WAFA KWA KUFUKIWA NA KIFUSI MGODINI


Wachimbaji wadogo wa dhahabu mkoani Shinyanga, maarufu 'manyani', wamekufa katika machimbo madogo ya Kalole wilayani Kahama, baada ya kufukiwa na kifusi usiku wa kuamkia jana.

WATANZANIA HATARINI GHASIA ZA AFRIKA KUSINI


Watanzania wanaoishi Afrika Kusini, wako hatarini kutokana na vurugu zinazofanywa na wenyeji wa nchi hiyo, dhidi ya wananchi wengine wa asili ya Afrika wanaoishi nchini humo.

Sunday, April 12, 2015

HIVI NDIVYO MOTO ULIVYOTEKETEZA ABIRIA 18 AJALI YA BASI MOROGORO


Watu 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na  basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara  kuu ya Morogoro – Mbeya.

ASKOFU GWAJIMA AUKANA UTAJIRI WAKE


Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama ni utajiri, anatarajia siku moja utamshukia.

WAISHIO NJE YA NCHI KUTOPIGA KURA OKTOBA


Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya kufikiwa kwa hatua hiyo.

Thursday, April 2, 2015

KURA YA MAONI YAAHIRISHWA HADI DAFTARI LA WAPIGAKURA LIKAMILIKE


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesogeza mbele kwa muda usiojulikana shughuli ya upigaji Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa.

GWAJIMA KUHOJIWA TENA POLISI WIKI IJAYO


Mahojiano baina ya Jeshi la Polisi na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima yaliyokuwa yanatarajiwa kuendelea jana, ikiwa ni siku mbili baada ya kuachiwa kwa dhamana na jeshi hilo, jana yalikwama kuendelea kutokana na kile kilichoelezwa kutoimarika kwa afya ya askofu huyo, na sasa yatafanyika Alhamisi ijayo.

MWALIMU WA MADRASA ANASWA NA WATOTO 11


Mwalimu wa Madrasa, Alhaji Maulana Shiraz (71) wa Jumuiya za Wi’yatu LiQadria iliyoko kijiji cha Chikundi wilayani Masasi mkoa wa Mtwara, anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kukutwa na watoto wadogo wapatao 11, wa kike na wa kiume, kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Pia, amekutwa na fomu za usajili zinazoonesha taarifa muhimu za mwanafunzi hao, zikiwemo jina la mtoto, jina la mzazi, mahali anakotoka kwa maana ya kijiji na kata pamoja na mawasiliano ya mzazi au mlezi wa mwanafunzi.
Watoto waliokutwa katika kituo hicho ambao wanatoka katika maeneo mbalimbali ya mikoa ya Lindi na Mtwara ni Selemani Juma (12) wa kijiji cha Mandawa, Ruangwa,  Bakari Nang’ani (12) anayetoka pia Ruangwa, Jamal Abbas (12) na Mwajuma Selemani (12) wanaotoka Mwena, Masasi, Karim Abbas (17) mkazi wa Liwale mkoani Lindi.

KARDINALI PENGO KUONGOZA MISA YA IJUMAA KUU


Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, anatarajiwa kuongoza misa ya Ijumaa Kuu, itakayofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Joseph jimboni humo.

MAJALIWA YA SHEKHE PONDA JULAI, HAKIMU WAKE ANALEA


Majaliwa ya kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu  Nchini , Shehe Ponda Issa Ponda, ambayo  ipo kwenye hatua ya utetezi itapatikana miezi mitatu ijayo.

YASEMAVYO MAGAZETI YA IJUMAA APRILI 3

Kama kawaida tunakuletea muonekano wa habari zilizomo kwenye magazeti ya Ijumaa Aprili 3, 2015. Kusoma vichwa vya habari kwenye kurasa za mbele na nyuma za magazeti hayo bofya kwenye picha hapo kushoto. Kupata yaliyoandikwa kwenye magazeti usikose kuperuzi blogu hii kila siku.