Washiriki wa Shindano la Redd's Miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hoteli ya Piccolo jijini Dar es Salaam. Jumla ya warembo 20 wapo kwenye mazoezi kujiwinda kwa shindano hilo litakalofanyika Ijumaa ya Agosti 15, 2014 kwenye fukwe za Escape One kwa kiingilio cha Shilingi 10,000 na 30,000 kwa VIP.

No comments: