Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Samwel Sitta akiongoza kikao cha Kamati ya uongozi cha Bunge hilo kilichokaa leo kupanga ratiba ya bunge hilo linaloanza kesho Agosti 5, 2014 baada ya kuahirishwa Aprili 25, 2014 kupisha Bunge la Bajeti.

1 comment:

Anonymous said...

It's great that you are getting thoughts from this piece of writing as well as from our dialogue made here.