Waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari, ndugu, jamaa na marafiki
wakibeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa mpigapicha wa kituo cha televisheni
cha Mlimani Maxmillian John Ngube wakati wa ibada ya kuaga mwili wake
iliyofanyika katika Viwanja vya Leaders, Dar es Salaam jioni ya leo.
|
No comments:
Post a Comment