Baadhi ya
wanafunzi wa shule ya Msingi Magole, iliyopo wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro,
na wageni wakiwasubiri walimu katika kibanda kilichochaka ambacho
kinatumiwa sehemu ya Ofisi kutokana na ukosefu chumba cha ziada, kama
walivyokutwa juzi , Wanafunzi wa shule hiyo wamehamishiwa kwa muda
kusomea katika majengo ya shule ya sekondari Magole, baada ya shule yao
kuathiriwa na mafuriko ya mvua Januari mwaka huu.
|
No comments:
Post a Comment