AJIFUNGUA KICHANGA NA KUKIZIKA KINGALI HAI RUVUMA...


   
Hili ni tukio la kusikitisha mno ambapo mwanamke mmoja mkoani Ruvuma amejifungua mtoto na kumzika akiwa hai kando ya eneo alipojifungulia mapema jana. Sababu za kufanya unyama huo bado hazijafahamika na sasa mwanamke huyo anashikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi kwa mujibu wa Taarifa ya Habari ya kituo cha ITV jana usiku.

No comments: