Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge, kutoka kushoto Sylvester Mabumba (Dole), Zainab Kawawa (Viti Maalum), Vita Kawawa (Namtumbo) na Mwanaharakati wa Haki za Wanawake na Watoto, Mama Terry Gbemudu, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma mapema leo.

No comments: