Naibu Katibu Mkuu Wizara
ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (katikati) akifuatilia kwa karibu
wadau wakitoa maoni wakati wa warsha ya wadau wanaoshughulika na utafutaji na
uzalishaji gesi na mafuta ili kupata maoni yao yatakayosaidia kuboresha Rasimu
ya Sera ya Petroli. Wengine kutoka kushoto ni Mhandisi Innocent Luoga (Kamishna
Msaidizi anayeshughulikia masuala ya Umeme), Mhandisi Stanley Marisa (Kamishna
Msaidizi Nishati, anayeshughulikia Petroli) na Adam Zuberi (Mjiolojia Mwandamizi
Wizara ya Nishati na Madini).
|
No comments:
Post a Comment