Mkurugenzi wa Mipango wa
TASAF, Amadeus Kamagenge akitoa maelezo juu ya mpango wa kuzinusuru kaya
masikini na zilizo katika mazingira hatarishi wakati wa warsha elekezi ya siku
mbili kwa maofisa ushauri na ufuatiliaji, waratibu wa mikoa, waratibu na
wahasibu wa mamlaka ya eneo la utekelezaji wa halmashauri 22 nchini
inayofanyika kwenye ukumbi wa Chuo Kikuu cha SAUT, mjini Mtwara.
|
No comments:
Post a Comment