CHEKA TARATIBU...

Mchungaji mmoja kamfuata jamaa aliyekuwa kwenye gari la kifahari na kumkabidhi kadi ya mchango wa ujenzi wa kanisa. Jamaa akajibu: "Siwezi kuchangia kanisa maana pesa zangu ni za haramu. Nafanya ushirikina na kuuza dawa za kulevya." Mchungaji akajibu: "Haina neno, we changia tu tutazitumia kujengea upande wa chooni!" Duh, kasheshe...

No comments: