CHEKA TARATIBU...
Jamaa kaomba kazi ya ulinzi. Akajibiwa kwamba aje na cheti chake. Pia lazima awe anajua kuongea Kiingereza. Jamaa akahoji: "Kwani hao wezi wanaokuja kuiba hawajui Kiswahili?" Kasheshe...
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment