Watuhumiwa watano wakiwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa juzi wakidaiwa kunyofoa mkono wa mlemavu wa ngozi, Maria Chambanenge (39) na kutokomea nao baada ya kumjeruhi kichwani na kisha kuufukia porini katika kijiji cha Miangalua. |
No comments:
Post a Comment