CHEKA TARATIBU...

Ama kweli mjini shule! Binti mmoja alikuwa akitaka kumuingiza mjini bwanake mmoja. Akatuma meseji hivi: "Baby ninataka kununua jeans moja nzuri lakini tatizo nimesahau pochi nyumbani." Baada ya dakika kadhaa meseji ikaingia kwenye simu ya binti: "Umepokea Shilingi 600 kutoka kwa Jofu. Binti akatuma meseji tena: "Jamani Baby, sasa hii 600 ya nini wakati jeans inauzwa 50,000!" Jamaa akajibu meseji: "Shilingi 300 nauli ya kwenda kufuata pochi nyumbani na Shilingi 300 nyingine ni nauli ya kurudi kununua jeans!" Duh, kasheshe...

No comments: