CHEKA TARATIBU...

Mgonjwa mmoja kaingia kwa daktari na mahojiano yalikuwa kama hivi. DOKTA: Enhe! Unasumbuliwa na nini kijana? MGONJWA: Dokta, nimekuwa nahisi kwamba hakuna anayesikia ninachosema. DOKTA: Enhe! Unasumbuliwa na nini kijana? Duh, kasheshe...

No comments: