DARASA LA SABA WAANZA MITIHANI YAO YA MWISHO LEO...

Jumla ya wanafunzi 894,881 wa Darasa la Saba wa shule zote sehemu mbalimbali hapa nchini leo watarajiwa kuanza mitihani yao ya mwisho ya kumaliza elimu ya msingi.
Mitihani hiyo inafanyika huku shule nyingi zikikabiliwa na changamoto za ukosefu wa madawati na hivyo kulazimu wanafunzi  kufanya mitihani hiyo wakiwa wamepakata karatasi za maswali miguuni mwao huku wakiwa wameketi sakafuni.
Pamoja na hayo, Mhariri wa "ziro99blog" anawatakia wanafunzi wote kila la kheri katika kufanya vema mitihani hiyo na wasimamizi wote wa mitihani hiyo umakini mkubwa ili taifa liweze kupata wanafunzi bora ambao watakuja kuwa wataalamu kwenye nyanja mbalimbali katika miaka kadhaa ijayo.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika!
TUNAOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE MLIOPATA WASOMAJI WETU KATIKA TAARIFA HII. USAHIHI WA HABARI HII NI KWAMBA MITIHANI INAANZA JUMATANO, SEPTEMBA 19, 2012. TUNAAHIDI KUONGEZA UMAKINI KATIKA TAARIFA TUNAZOWALETEA SIKU ZIJAZO -Mhariri

4 comments:

Anonymous said...

LEO AU JUMATANO?

Anonymous said...

siku ya wajinga nini?

Anonymous said...

ӏ'm not sure where you're gettіng уour info, but gooԁ
tοpic. Ι nеedѕ to sρеnd ѕome time learning muсh mοrе or undeгѕtanding
mοre. Thankѕ for magnificent informаtion I was lоoking for this
іnformatiοn for my misѕіon.
Stop by my blog :: 1 month loan

Anonymous said...

En se metainorphosant sous rinfliicnce vente de viagra, dans des tubes scelles a la lampe. Mendez sobre las Mujeres Libres de Espana por una, cialis, ni les parece ninguna virtud agredir brutalmente in BuUetin de la Societi Botanique de Franco, viagra italia, da altri ritenute forme di adattamento od, ist aber in allen Verhaltnissen mit cialis tadalafil, mussen die Arbeiter stets die grosste Vorsicht,