Baadhi ya wacheza ngoma wa kikundi cha Bujora wakishangilia baada ya kuibuka mabingwa wa Kanda ya Ziwa katika fainali za mashindano ya Ngoma za Asili yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Mabatini, jijini Mwanza mwishoni mwa wiki. Kwa ushindi huo, Bujora walijinyakulia kikombe pamoja na pesa taslimu Shilingi 1,100,000.

No comments: