Sunday Kayuni akiongoza wadau wenzi wa michezo nchini kupita kutoa heshima zao za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa mchezaji wa zamani wa Taifa Stars, Gebbo Peter, nyumbani kwa marehemu Vingunguti, jijini Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kuelekea Kigurunyembe, mkoani Morogoro kwa mazishi.

No comments: