Kaimu Meneja wa Mafao ya
Matibabu Dk. Lucy Simbila akizungumza kabla ya Kumkaribisha Mgeni Rasmi Kaimu
Mganga Mkuu Mkoa wa Geita Dk. Ndinisyu Daniel (kushoto) kufungua zoezi hilo.
Wengine ni Dr. Ali Mzige (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Bw.Shaban Mpendu,
Meneja wa NSSF Mkoa wa Geita na Mwisho ni Regional Aids Control Cordinator
(RACC), Elisande Shumbi.
|
No comments:
Post a Comment