Meneja Kiongozi wa Idara ya Uhusiano na huduma kwa Wateja wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume akifurahia jambo na Mhariri Mtendaji wa  New Habari (2006), Absalom Kibanda wakati alipotembelea banda la NSSF kwenye maonesho ya pili ya biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Tangamano, mjini Tanga.

No comments: