Daktari wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Lucy Simbila (kulia) akimpima shinikizo la damu mmoja wa watu waliojitokeza kupima afya mkoani Mara juzi, katika Kambi ya Upimaji Afya Bure inayoendeshwa na NSSF kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa.

No comments: