Baadhi ya Watanzania wakishangilia wakati Rais Yoweri Museveni akihutubia maelfu ya wananchi waliohudhuria misa ya kuombea mchakato wa kumfanya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kutangazwa Mwenyeheri na hatimaye Mtakatifu, iliyofanyika kwenye Kanisa la Mashahidi wa Uganda huko Namugongo.

No comments: