Baadhi ya wasanii watakaotoa burudani katika Tamasha ya Kili Music Tour litakalofanyika leo jioni kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Tamasha hilo ni moja kati ya kumi yanayotarajiwa kufanyika katika mikoa mbalimbali nchini chini ya udhamini wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

No comments: