Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais Bw.Sazi Salula (katikati) akifungua rasmi kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais kilichofanyika Karimjee jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Naibu katibu Mkuu  Eng. Angerina Madete, na wa kwanza kushoto Katibu wa Baraza Bw. Isaya Kisiri.

No comments: