Jaji wa Mahakama kuu Mhe.Njengafibili Mwaikugile akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu  katika ofisi za Mahakama kuu jijini Dar es Salaam wakati IGP alipokwenda kula kiapo cha kuwa mjumbe wa Tume ya utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza.Tume hiyo inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari polisi na Magereza.Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Mbarak Abdulwakil na kushoto ni  DCI Issaya Mngulu.

No comments: