CHEKA TARATIBU...

Wataalamu katika hospitali moja ya vichaa waliamua kufanya jaribio ili kubaini wagonjwa wao ambao wameanza kupata nafuu. Wakachora picha ya embe ukutani na kuwataka vichaa wote wainuke na kwenda kula embe lile. Wote wakainuka kwa fujo na kuelekea ukutani isipokuwa mmoja tu ambaye aliendelea kujibanza kwenye kona ya chumba kile. Mtaalamu mmoja akiwa na imani kwamba yule kapona akamfuata kujua sababu za kutoinuka. Kichaa kwa kujiamini akamjibu, "Aah, mie nangojea kokwa!" Kasheshe...

No comments: