CHEKA TARATIBU...

Jamaa kapiga simu ofisi za Makumbusho ya Taifa na mambo yalikuwa hivi. JAMAA: "Haloo, hapo ni Makumbusho ya Taifa?" OFISI: Ndio, tukusaidie nini?" JAMAA: "Naomba mnikumbushe mwaka jana nilikuwa na mpenzi yupi siku ya Valentine!" Duh, kasheshe...

No comments: