CHEKA TARATIBU...

Tangazo lilitolewa kwamba familia yoyote yenye watoto 10 watazawadiwa nyumba na gari. Jamaa akamwambia mkewe, "Samahani, tuna watoto 8, lakini nina watoto wengine wawili nje ya ndoa ngoja nikawachukue!" Baada ya muda jamaa akarejea na wale watoto wawili na kumuuliza mke wake, "Wako wapi wale wengine 8?" Mkewe akajibu, "Wote wamechukuliwa na baba zao!" Duh...

No comments: