USALAMA BARABARANI: AMA KWELI USAFIRI KAFIRI...


Mkazi wa Dar es Salaam akiwa amelala juu ya shehena ya ndizi zilizopakiwa kwenye pikipiki ya matairi matatu jambo ambalo linaweza kuhatarisha usalama wake kama alivyokutwa mwishoni mwa wiki jijini.

No comments: