EBWANAEEE... KUMBE USHER RAYMOND NI MKALI WA "ROCK"...


Huyu ndiye mwimbaji kijana wa Marekani aliyeiteka dunia na kukubalika kama mkali wa miondoko ya R&B kabla ya hivi majuzi tu kuwaacha midomo wazi wapenzi wake na mashabiki wa muziki kwa ujumla alipodhihirisha uwezo mkubwa pia katika muziki wa Rock. Shuhudia mwenyewe vitu vya Usher....

No comments: