Selasa, 1 Julai 2014

Mshambuliaji wa Ufaransa, Paul Pogba akiifungia timu yake bao kwanza dhidi ya Nigeria katika mechi ya Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora jana. Ufaransa ilishinda mabao 2-0 na kutinga Robo Fainali.

Tiada ulasan: