Rabu, 30 Julai 2014

Basi la Morobest lenye namba za usajili T 258 AHV likiwa eneo la tukio baada ya kugongana uso kwa uso na lori lenye namba T 820 CKU kwenye eneo la Pandambili, mkoani Dodoma mapema leo majira ya Saa 2 asubuhi.

Tiada ulasan: