2013年6月30日日曜日

CHEKA TARATIBU...

Jamaa kaenda baa na mke wake wa ndoa. Wakati wakiendelea kupata vinywaji pale, ghafla akatokea changudoa mmoja na kwenda moja kwa moja kwa mke wa jamaa na kumnong'oneza sikioni: "Akulipe kabisa kabla hujaenda kulala naye, jamaa mgumu sana kulipa!!" Duh, kasheshe...

0 件のコメント: