2013年5月3日星期五

CHEKA TARATIBU...

Jamaa kaenda kutoa posa kwa binti fulani. Wazazi wakamkatalia kwa sababu binti yao bado yupo shuleni anasoma. Jamaa baada ya kufikiri kwa muda akajibu: "Haina shida wazee, basi nitakuja wakati wa mapumziko!" Duh, kasheshe...

没有评论: