Mbwa koko wawili walikuwa wakizurura jalalani kutafuta chakula mida ya asubuhi. Mara likapita gari la polisi likiwa limepakia mbwa nyuma. Mbwa koko mmoja akamtazama mwenzake na kumwambia kwa uchungu: "Ona wenzetu waliosoma wanakwenda kazini sasa!" Kasheshe…
0 件のコメント:
コメントを投稿