2012年8月1日水曜日

ELIMU BONGO LAZIMA UGANGAMALE...


Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Mkoani iliyopo Ilala, Dar es Salaam wakisahishiwa madaftari yao na mwalimu nje ya madarasa yao mapema leo. Mgomo wa walimu unaoendelea nchi nzima umesababisha wanafunzi wengi kushindwa kuhudhuria masomo.

0 件のコメント: