zironews
2012年6月28日木曜日
TIBA YA KUTUAMA MAJI SOKO LA TANDALE...
Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi ya Skol wakijenga mitaro ya Soko la Tandale lililopo katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam jana. Hatua hiyo itasaidia kupunguza tatizo la kutuama maji ya mvua.
0 件のコメント:
コメントを投稿
次の投稿
前の投稿
ホーム
登録:
コメントの投稿 (Atom)
0 件のコメント:
コメントを投稿