lunes, 27 de febrero de 2012
LIVERPOOL MABINGWA KOMBE LA CARLING
Liverpool jana ilifanikiwa kutwaa Ubingwa wa Kombe la Carling kwa kuinyonyoa Cardiff kwa mikwaju ya penalti 3-2 baada ya kutoka sare ya 2-2 katika muda wa nyongeza kwenye mechi kali ya fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Wembley.
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
Suscribirse a:
Comentarios de la entrada (Atom)

No hay comentarios.:
Publicar un comentario