2012年2月29日水曜日

HATARI LAKINI SALAMA...

Mwendesha baiskeli ya miguu mitatu maarufu kama Guta akiendesha kwenye barabara ya Kinondoni jambo ambalo ni hatari kwa usalama wake kutokana na kasi ya magari yanayopita njia hiyo nyakati za asubuhi. (Picha na ziro99blog)

0 件のコメント: