2012年2月27日月曜日

CHUMBA ALICHOFIA WHITNEY CHAPATA MTEJA!

Chumba ambamo alifia mwanamuziki Whitney Houston. Wahusika wameeleza kwamba wanaendelea 'kula vichwa" kwenye chumba hicho ambacho hupangishwa kwa Pauni 375 kwa usiku mmoja. Kwa sasa tayari kimepata mtu.

0 件のコメント: