2012年2月27日月曜日
CHEKA TARATIBU...
Jamaa kaingia kwenye mgahawa huko Gabon siku moja baada ya fainali za Kombe ka Mataifa ya Afrika. Meza ya pembeni kamkuta mshambuliaji wa Ivory Coast, Didier Drogba akipata kifungua kinywa kwa kutumia bakuli. Jamaa akauliza, "Drogba mbona unatumia bakuli?" Drogba akajibu, "Mshamba nini, we hujui kwamba KIKOMBE wamechukua Zambia?" Duh!
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
登録:
コメントの投稿 (Atom)

0 件のコメント:
コメントを投稿