Dokta Mwaka Juma akisamiliana na Samia Othman na Zainab Aziz wakati alipotembelea ofisi za Makao Makuu ya Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani (DW) jijini Bonn, Ujerumani jana. Dk Mwaka ambaye ni mtaalamu wa tiba asilia kutoka Tanzania yuko nchini humo kwa ziara ya mafunzo kwenye taasisi mbalimbali za tiba yenye lengo la kustawisha tiba mbadala kwa afya.

No comments: