Jamaa mmoja katoroka kazini wakati bosi wake hayupo ofisini. Kufika nyumbani kwake kakuta bosi amelala na mkewe kitandani, akanyata na kutoka nje mbio kurejea kazini. Alipofika akaanza kumsimulia rafiki yake: "Duh, nimemkuta bosi kalala na mke wangu nyumbani, ila nashukuru hajaniona. Nikanyata na kutimua mbio maana angejua kama nimetoroka kazini ingekuwa balaa!" Mh...
No comments:
Post a Comment