Mratibu Maafa Ofisi ya waziri Mkuu, Edga Senga akipokea maelekezo kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Florence Turuka kuhusu masuala ya maafa alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea mkoani Dodoma.

No comments: