Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania na baadhi ya wateja wakuonesha fataki kusherehekea maadhimisho ya miaka 17 ya benki hiyo ambayo husherehekewa kila Agosti 15. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Tawi la kwanza kufunguliwa na benki hiyo mwaka 1997 lililoko Samora, Dar es Salaam.

No comments: