Miili ya abiria waliokufa kwenye ajali ya basi la Morobest lililokuwa likitokea Mpwapwa ikiwa imelazwa kando ya basi hilo baada ya kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Pandambili, mkoani Dodoma mapema leo asubuhi na kusababisha vifo vya watu 17 wakiwamo madereva wa magari yote mawili pamoja na kondakta na utingo wa lori hilo.

No comments: